Ijumaa, 28 Desemba 2018


Tunakodisha bwawa la kufugia samaki
Kampuni ya KAMBALE AGRO BUSINESS AGENCY
  Inakodisha bwawa la 8x20M la zege
Utaweka kambale 3200
Chakula bora kutoka holland kipo kg 20 =64elf utakitumia kwa miez 3 then utashauri chakula cha bei rahisi
Maji ni DAWASCO
Bwawa liko ndani ya fensi
Ulinzi na ulishaji ni uhakika
Lipo MAPINGA -BAGAMOYO
KODI NI LAKI 1 KWA MWEZI.

MAVUNO
Utavuna tani 3 na kg 200 kwa miezi 7 mpaka 9
Kg 1 bei ya jumla ni 6000tsh
Soko ni la uhakika .
Tunauza vifaranga
Kambale 300
Sato 350
Tunachimba mabwawa
Tunashauri ufugaji samaki
0718593224
0715926398whatup(BAGAMOYO)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni