Ijumaa, 28 Desemba 2018


BWAWA LA NILON 6X6
BWAWA hili mara nyingi hutumika kama site yako ni kichanga au maji yanapotea
Uchimbaji ni laki 3 nilon ni 150000/=
Vifaranga ni 600 kambale1 @300=240000/=
Maji. Inategemea na location ya site yako
Chakula. 1samaki ale 1kg hadi kuvunwa akiwa na kg 2 ndani ya miezi 6
Chakula hicho kg 1=32000/= made in holland.
Made in Tanzania. 1kg =2000/= samaki anaweza fikia 1kg kwa miezi 6 hio ni kambale tu sato ni g250.
Homemade.  unaweza tengeneza chakula chako mwenyewe .Tunakufundisha
NB . Unashauriwa kutengeneza chakula mwenye pale tu samaki wako wakifikisha miez 3na wawe hawajadumaa. 
Mavuno
1samaki ndani ya miezi 6 ni sawa na 2 kg kama amelishwa chakula bora
Hivyo ni sawa na 1200 kg bei ya jumla ni 5000/=reja 8000/=
TUNAUZA VIFARANGA VYA SAMAKI
KAMBALE 300 tsh
SATO  350tsh
TUNAUZA CHAKULA CHA SAMAKI
TUNACHIMBA MABWAWA
TUNATOA USHAURI WA UFUGAJI SAMAKI
TUNAUZA SAMAKI NA KUNUNUA SAMAKI 
OFISI. 
BAGAMOYO. MJI MPYA
0715926398 WHATUP
0718593224 PIGA 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni