Jumatatu, 18 Desemba 2017
KILIMO CHA VIAZI VYA CHIPS.
SHAMBA LIPO SAWA NA BULE,
WATAARAMU WAPO,
WATAKUSIMAMIA KUANZIA SHAMBANI HADI SOKONI.
SHAMBA link kazi yetu ni kukuunganisha na fursa , sasa basi tunayo fursa kutoka Lushoto Tanga ambako ni eneo pekee lenye hali ya hewa nzuri Kwa kilimo cha mbogamboga na ukawa na matokeo chanya tofauti na maeneo mengine hii ni Kwa sababu hali ya hewa ni nzuri wengi hupenda kuiita Genova ya Afrika .
Lushoto kuna mdau wetu yuko tayari Kwa mazumzo na MTU yeyote aliyeko tayali kuzalisha Kwa tija.yeye ana shamba LA heka 2 Tambalale kwenye (vidau)yaani eneo lenye umajiumaji.Anachohitaji kutoka kwako ni vitu vifuatavyo
Eneo jirani kuna chemchem ya asili ambayo haikauki milele hivyo ili kuzalisha Kwa tija linahitajika tenki 2 ,moja litachimbiwa chini kalibu na chemchem ili kukusanya maji kutoka kwenye chemchem na tenki la 2 litawekwa juu shambani Kwa ajili ya kupokea maji kutoka tanki namba moja na litatumika kuyasambaza shambani Kwa drip au mfumo utakaofaa .
Tenk hizo zinaweza kuwa na sifa zifuatazo liwe na ujazo wa Lita 10,000 .
Kitu kingine ni pump ya diesel engine ya inch 2 itakayotumika kuhamisha maji kutoka tank no 1 kwenda no 2 .
Kitu cha tatu ni pipe itakayotumika kusafirisha maji ya nchi mbili pia
Gharama.
Tank 1............ 1800,000/=
Mashine pump.......600,000/=diesel engine na 300,000 petrol engin
Pipe mita 150..........500,000/=
JUMLA 4700,000/=
Mazao utakayolima ni kama nyanya,viazi chips vitunguu ,karoti,kabichi. N.k.
Kwa heka moja Kwa zao LA viazi ni sawa gunia 150 na gunia moja ni laki na ishirini Kwa dar.
Mdau yupo tayari Kwa mazungumzo na mikataba ya kisheria .
Aidha SHAMBA link wako tayali Kwa kusimamia kitaaramu au kutoa ushauri Kwa mwekezaji atakayejitokeza kuanzia ubora wa SHAMBA ,uzarishaji na masoko.
Kwa maelezo zaidi
0718593224.

Alhamisi, 28 Septemba 2017
KILIMO CHA MPUNGA WA UMWAGILIAJI WAMI DAKAWA
MOROGORO.
TUNAKUKODISHA,
KUKUSHAURI KITAARAM,
TUNAKUSIMAMIA KAMA UNASHUGHURI NYINGI,
NA KUKUPA SOKO LA UHAKIKA.
SHAMBA LINK AND MONITORING Ni kampuni ya kilimo biashara inayojihusisha na kukodisha mashamba ya umwagiliaji pamoja na vifaa vya kilimo, kushauri na kusimamia shughuri za shambani kwa wale wasio na muda.
Tuna mashamba Bagamoyo na mlandizi yaliyoko kandokando ya Mto ruvu mashamba haya yanafaa kwa kilimo cha bustani yaani kilimo cha nyanya, tikiti, bamia, vitunguu na mazao yote ya bustanini na nafaka kama Mpunga pamoja na mahindi. Aidha tuna mashamba wami dakawa kwa kilimo cha mpunga kwa scheme. Na lushoto Tanga kwa mazao yanayohitaji balidi .
Huu Mchanganuo umelenga kilimo cha Mpunga wami dakawa zifuatazo ni gharama zake kwa heka.
Gharama kwa heka.
Kukodi.................................. 300, 000/=
Kuplau..................................... 50, 000/=
Kuhalo......................................40, 000/=
Kuchabanga...........................60, 000/=
Kupanda................................100, 000/=
Mbolea 50kg...........................60,000/=
Kuweka mbolea.....................15, 000/=
Mbegu bora............................ 40, 000/=
Kulinda kitaru........................30, 000/=
Kupalilia x2.............................160, 000/=
Kuvuna (kombani).................. 50, 000/=
Kukoboa(satak)@1gunia.......... 3, 000/=
Madawa 1lita...............................50, 000/=
Kufukuza ndege ........................100, 000/=
MAVUNO.
Ukifuata ushauri bora wa kitaaramu unapata gunia za kilo 100 gunia 40. Ukikoboa kila gunia hutoa kg 75.
MAJI.
Maji ni sawa na bure unalipia pesa kidogo kwa ajili ya kukarabati scheme.
MUDA.
Muda mzuri wa kupanda ni mwezi wa 12. Japo kilimo cha umwagiliaji hakina majira . kwa mwaka hulimwa mara mbili na kitaru ni siku 14.
SOKO.
Kilo 1 kwa bei ya jumla ni 1800/= kwa shambani kwa Dar ni 2000/= soko la uhakika na kama soko halikulizishi weka usubili soko zuri.
Tupo Bagamoyo njia ya kiwangwa shuka kituo cha Mtoni.
Chukua mkataba sasa kwa maandalizi ya mwezi wa12.
Kilimo biashara.
0715926398

Ijumaa, 1 Septemba 2017
KILIMO CHA VITUNGUU MAJI BAGAMOYO.
TUNAKODISHA NA KUSIMAMIA HATUA ZOTE HADI SOKONI.
Hali ya hewa.
Kitunguu hustawi katika hali ya hewa ya nyuzi 15°c hadi 28°c . Hivyo Bagamoyo inafaa.
Aina za vituguu.
Kwa Tanzania tunalima vitunguu vya aina 3
Kusiha mbegu kwa kitaru.
Kilo 2 zinatoa miche ya heka 1
Kitaru kinatakiwa kuandaliwa kwa leki ili kulainisha udongo au kutumia majivu au sehemu palipochomwa mkaa maana udongo ule hakunaga wadudu. Mistari iwe na urefu wa 1cm kwenda chini , mwaga mbegu polepole fukia kwa udongo laini. Kwa Bonde ruvu mbegu zitachukua siku 4 hadi 10 kwa sababu ya joto kwa maeneo mengine huchukua hadi siku 20. Ni muhimu kumwagilia maji ya kutosha kwa siku 10 za mwanzo. Miche ikae mwezi1 kwa kitaru ihamishiwe shambani ikiwa na upana wa penseli na urefu wa 15 cm.
Kupanda miche kwa jaruba
Tunatumia jaruba la 5m kwa 3m au zaidi. Miche hupandwa kwa nafasi ya upana wa 20 cm na nafasi ya 10 cm kati ya mistari.
Mbolea.
Tunatumia mbolea za NPK heka inahitaji kg 200 na huwekwa siku 7 kabla ya kupanda kisha inashauriwa kuweka mbolea ya nitrogen ili kunenepesha kg 13 huwekwa wiki3 hadi 4bkupanda
kupanda . kiasi 10gm /1m2
Umwagiliaji.
Maji yanatakiwa kulowanisha udongo kwa 1cm kwenda chini au zaidi mwagilia kila baada ya wiki 1 hakikisha maji hayatuami maana yatasababisha ugonjwa wa kuoza kwa bulb.
Mavuno.
Kwa Bagamoyo heka hutoa gunia 120 bei ya shambani ni laki na kumi mwezi wa 6 mpaka wa 10 lakini hupanda zaidi miezi ya mvua kukiwa kuna shida ya usafiri wa kwenda kuchukua mazao mikoani.
Soko la vitunguu.
Soko ni kubwa la ndani na nje na ukiona soko halilizishi tunakupa eneo la muhifadhia magunia yako mpaka soko liwe zuri aidha tuna uzoefu wa masoko wa miaka 14 ya ndani na nje.
Gharama kwa heka 1
Kukodi miezi 6...................................... 300, 000
Kulima trekta............................................ 70, 000
Halo..............................................................50, 000
Jaruba .......................................................200, 000
Kupanda................................................... 20, 000
Mbegu kg 3@ mtaan 70000 hybrid....150, 000
Kupalilix2 .................................................240, 000
Dawa.......................................................... 100, 000
Mbolea kg 200 NPK , 18 NITROGEN .. 250, 000
Mashine ya kumwagilia....................... 350, 000
NB:Gharama inaweza Badilika
Aidha tunakodisha mashine za umwagiliaji kwa wasionazo
Pia tunasimamia kwa mazao yote kama tikiti , nyanya , hoho, mahindi mabichi na mpunga n. K.
Tupo kituo cha daladala kiitwacho Mtoni njia ya kiwangwa ukitoke Bagamoyo ni km 7
Kwa michanganuo inayosadifu uhalisia tembelea
Shambalink. blogspot. Com
0715926398
Karibu sana.
TUNAKODISHA NA KUSIMAMIA HATUA ZOTE HADI SOKONI.
Hali ya hewa.
Kitunguu hustawi katika hali ya hewa ya nyuzi 15°c hadi 28°c . Hivyo Bagamoyo inafaa.
Aina za vituguu.
Kwa Tanzania tunalima vitunguu vya aina 3
- Red creole
- Red Bombay na
- Texas Grano
Kusiha mbegu kwa kitaru.
Kilo 2 zinatoa miche ya heka 1
Kitaru kinatakiwa kuandaliwa kwa leki ili kulainisha udongo au kutumia majivu au sehemu palipochomwa mkaa maana udongo ule hakunaga wadudu. Mistari iwe na urefu wa 1cm kwenda chini , mwaga mbegu polepole fukia kwa udongo laini. Kwa Bonde ruvu mbegu zitachukua siku 4 hadi 10 kwa sababu ya joto kwa maeneo mengine huchukua hadi siku 20. Ni muhimu kumwagilia maji ya kutosha kwa siku 10 za mwanzo. Miche ikae mwezi1 kwa kitaru ihamishiwe shambani ikiwa na upana wa penseli na urefu wa 15 cm.
Kupanda miche kwa jaruba
Tunatumia jaruba la 5m kwa 3m au zaidi. Miche hupandwa kwa nafasi ya upana wa 20 cm na nafasi ya 10 cm kati ya mistari.
Mbolea.
Tunatumia mbolea za NPK heka inahitaji kg 200 na huwekwa siku 7 kabla ya kupanda kisha inashauriwa kuweka mbolea ya nitrogen ili kunenepesha kg 13 huwekwa wiki3 hadi 4bkupanda
kupanda . kiasi 10gm /1m2
Umwagiliaji.
Maji yanatakiwa kulowanisha udongo kwa 1cm kwenda chini au zaidi mwagilia kila baada ya wiki 1 hakikisha maji hayatuami maana yatasababisha ugonjwa wa kuoza kwa bulb.
Mavuno.
Kwa Bagamoyo heka hutoa gunia 120 bei ya shambani ni laki na kumi mwezi wa 6 mpaka wa 10 lakini hupanda zaidi miezi ya mvua kukiwa kuna shida ya usafiri wa kwenda kuchukua mazao mikoani.
Soko la vitunguu.
Soko ni kubwa la ndani na nje na ukiona soko halilizishi tunakupa eneo la muhifadhia magunia yako mpaka soko liwe zuri aidha tuna uzoefu wa masoko wa miaka 14 ya ndani na nje.
Gharama kwa heka 1
Kukodi miezi 6...................................... 300, 000
Kulima trekta............................................ 70, 000
Halo..............................................................50, 000
Jaruba .......................................................200, 000
Kupanda................................................... 20, 000
Mbegu kg 3@ mtaan 70000 hybrid....150, 000
Kupalilix2 .................................................240, 000
Dawa.......................................................... 100, 000
Mbolea kg 200 NPK , 18 NITROGEN .. 250, 000
Mashine ya kumwagilia....................... 350, 000
NB:Gharama inaweza Badilika
Aidha tunakodisha mashine za umwagiliaji kwa wasionazo
Pia tunasimamia kwa mazao yote kama tikiti , nyanya , hoho, mahindi mabichi na mpunga n. K.
Tupo kituo cha daladala kiitwacho Mtoni njia ya kiwangwa ukitoke Bagamoyo ni km 7
Kwa michanganuo inayosadifu uhalisia tembelea
Shambalink. blogspot. Com
0715926398
Karibu sana.

Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)