Jumatano, 2 Januari 2019

Asilimia 60% ya samaki wanaingizwa kutoka nje ya nchi yaani soko bado lipo.

Despite our country having plenty of rivers, lakes and all kind of water bodies, Tanzania imports 60% of fish it consumes annually while over half of its population is unemployed and there's also a high fish demand in neighbouring countries. 🙈🙈 Read 👇🏽👇🏽

*04june2018-Tanzania: The Sh20bn Fish Paradox*

Despite having a fisheries economy that is currently estimated at nearly $4 billion (Sh10 trillion) in value, Tanzania still imports fish valued at Sh20 billion annually.

The country produces a total of 336,821 tonnes of fish annually, which is lower than the demand of 731,000 tonnes. This translates into a shortage of 394,179 tonnes.

To ease the shortage, Tanzania has turned to importing fish and fish products from *China* and *Vietnam*.

Commenting on this, the deputy minister for Livestock and Fisheries, Mr Abdallah Ulega, said yesterday that Tanzania is compelled to import fish due to the poor local production which is insufficient to cater to the actual demand on the ground.

"The country's fish consumption stands at 731,000 tonnes annually, but we are able to supply 336,821 only, which is almost half of what is required," he said.

While on a one-day official tour of Bagamoyo and Kibaha districts in the Coast Region, Mr Ulega said the government has taken various measures to encourage the public in general, and stakeholders in particular, to engage in fish production with a view to reducing the deficit even as they improve their social and economic status.

He added that that the government was already addressing the challenges which fishery operators face, including inadequate capital and lack of broader understanding of the aquaculture business.

"We (the government) are also making efforts to produce enough fish seeds, as well as ensure that quality fish is produced and supplied to various outlets across the country."

According to the National Bureau of Statistics (NBS), fishing is currently estimated to contribute Sh3 trillion to the national economy.

But the parliamentary probe committee on Deep Sea Fishing chaired by Ms Anastazia Wambura revealed that Tanzania's fisheries sector suffered a loss of Sh5.9 trillion between 2009 and 2017.

Handing over the probe report to National Assembly Speaker Job Ndugai on Saturday, Ms Wambura said the loss was attributed to various factors, including improper management of the exclusive economic zone into the Indian Ocean.

She named other factors as lack of qualified personnel, export of unprocessed fish, tax evasion and under-declaration of taxes by fishing vessels.

Ms Wambura said it was most unfortunate that Tanzania was not getting what it deserves from its 223,000sqkm of exclusive economic zone (EEZ) as prescribed by the United Nations Convention on the Law of the Sea, and over which the state has special rights regarding the exploration and use of marine resources.

In the event, she lamented that the government earned only Sh993.15 million during the period of the probe in the form of revenues, and that Sh634.911 billion was being lost annually due to exporting fish in the raw form, as well as from rampant tax evasion and inadequate supervision.

"We even lost Sh2.21 trillion in 2016/17 due to massive under-declarations," she said, further noting that the Tanzania Revenue Authority (TRA) lost Sh507.5 billion during the same period due to misinterpretation (misapplication) of the law.


In another development, the owner of the Bagamoyo-based Hill Group factory, Mr Hillary Shoo, pleaded with the government to provide livestock production firms with time to correct weaknesses unveiled during inspections, instead of suspending production or handling out stiff penalties
.TUNAUZA VIFARANGA VYA SAMAKI
KAMBALE 300 tsh
SATO  350tsh
TUNAUZA CHAKULA CHA SAMAKI
TUNACHIMBA MABWAWA
TUNATOA USHAURI WA UFUGAJI SAMAKI
TUNAUZA SAMAKI NA KUNUNUA SAMAKI 
OFISI. 
BAGAMOYO. MJI MPYA
0715926398 WHATUP
0718593224 PIGA 

Jumanne, 1 Januari 2019

Sifa ya vifaranga bora vya Kambale

 KAMBALE AGRO BUSINESS AGENCY.
Tunauza vifaranga bora vya kambale
Bei :300/=
Aina:African catfish (clalius gariepinus)
SIFA YA VIFARANGA BORA:
1.  size moja :Itakusaidia gharama ya ulishaji, kiasi cha ukuaji wao , kukadilio
 faida ila ukiweka wenye size tofauti wengine watakuwa wamefikia kuvunwa wengine
Bado,  wale waliokotayari wana nguvu zaidi hivyo watakula chakula cha wale wadogo hii
Itapelekea udumavu wa samaki. Pia  size tofauti , wadogo sana wataliwa na wakubwa
2. Mbegu yet ni ya kichwa kidogo kiwiliwili kikubwa  (TIARA) walaji wanapendelea samaki mwenye kiwiliwili kikubwa maana kina minofu kuliko bichwa maana bichwa huwa na uzani mkubwa , na
Halitumiki Ukichukua mbegu yenye vichwa kikubwa itakusumbua kipindi cha kuuza .Pia wenye bichwa hawafai kwenye kuchakata kama kubanika au kutengeneza fillets maana fillet ni minofu so kama ana bichwa itakuwa ni hasara kwa mchakataji na ndio maana wengine wana samaki ila hawawezi kuuza nje au soko lao lina sua sua.
3. Ni aina ya combat (mabakamabak) hii inasifa ya kukua haraka kuliko nyingine .
Pia tunahusika kwenye kuwasafirisha na kupandikiza bwawani. Na ushauri bure kwanzia siku ya kupanda hadi kuvuna na kukusaidia kukuuzia humu kwenye mitandao yetu ya kijamii.
4. Anayekufa kwenye kusafirisha , siku ya kupanda hadi siku ya 3 tunalazimika kufidia
KAMPUNI YA KAMBALE AGRO BUSINESS AGENCY. 
OFISI. BAGAMOYO NJIA YA KIWANGWA , SHUKA KITUO CHA MJI MPYA. 
0715926398 whatup
0718593224 piga sasa. 

Jinsi ya kuuza samaki wako kidijitari

JINSI YA KUUZA SAMAKI BWAWANI KWAKO. 
Wafugaji wengi hutegemea kuuza samiki wote kwa jumla kitu amabacho kinawezekana ila kwa uchache sana . Sasa ukikosa wanunuaji wa jumla unafanyeje? Wengi hukaa na samaki bila kujiongeza na kumbuka wanavyo kaa bwawani gharama inaongezeka maana jinsi wanavyokua wakubwa ndio uhitaji wa chakula unaongezeka na maji huchafuka haraka kutokana na wingi wa taka mwili hivyo utarazimika kubadilisha maji mara kwa mara.
 Fanya hivi
Tafuta wateja kabla samaki hawajafikia muda wa kuvunwa lakini mpango "B" Tengeneza CAGE(hapa) ni wavu kinachofungia samaki ndani ya bwawa kubwa ili kuwe na urahisi wakuwatoa muda wowote ukiwahitaji. Mfano wa Fish cage ni net ya mmbu , nyavu za madilisha hata waya mesh
Faida za cage

  • Inakusaidia kuuza samaki hata kuanzia kg 1 mteje anapopatikana
  • Inapunguza  gharama ya uvunaji maana bila cage kama bwawa ni kubwa utarazimika kutoa maji kila unapohitaji samaki lakini unapokuwa na cage unavua mara 1 unawaweka kwa cage . 
  • Pia wakiwa kwa cage unaweza kupandikiza vifaranga wengine


  • Hasara za cage Kama hakuna ulinzi ni rahisi kuondoka na samaki kama utatengeneza cage rahisi na bila ushauri. 


Tunauza vifaranga 
Kambale 300
Sato 350 
0718593224
0715926398whatup(BAGAMOYO)

Jumatatu, 31 Desemba 2018

MAANDALIZI YA BWAWA LA SAMAKI KABLA YA KUWAWEKA SAMAKI KWENYE BWAWA.
Maandalizi ya bwawa la samaki ni hatua muhimu sana katika mafanikio makubwa ya ufugaji samaki,bwawa la samaki likiandaliwa ipasavyo na kufuata utaratibu mzuri hua ni chanzo cha mafanikio katika ufugaji samaki,lakini wafugaji wengi wasamaki huanguka na kupata hasara kubwa na mafanikio madogo ya ufugaji samaki sababu ya kukosa elimu ya kuandaa bwawa la samaki vizuri kama inavyotakiwa.zifuatazo ni hatua muhimu za kuandaa bwawa la samaki kabla ya kuwaweka ndani ya bwawa.
Tengeneza bwawa lako katika eneo lisilokua na mteremko mkali,eneo lenye maji yakutosha,eneo lenye udongo mfinyanzi na eneo lililo mbali na uchafuzi wa majitaka.
Jaza maji safi na salama ndani ya bwawa,usijaribu kuweka maji yenye chlorine ndani ya bwawa.
Weka mbolea ya kuku au ya mfugo wowote kwenye bwawa,weka kilo tatu kwa kila mita mia moja za eneo la bwawa lako (5kg/100m2)
Baada ya kuweka mbolea subiri wiki mbili kabla ya kuweka samaki ndani ya bwawa ili chakula asilia cha samaki kuota ndani ya bwawa.(ukijani wa maji na vijidudu vidogo).
Weka samaki ndani ya bwawa kulingana na ukubwa wa bwawa,weka vifaranga watano hadi kumi wa kambare kwa kila mita moja za eneo la bwawa(5-10kambare/m2)
JINSI YA KUWEKA MBOLEA KWENYE BWAWA LA SAMAKI KWAAJILI YA KURUTUBISHA BWAWA.
Kurutubisha bwawa ni kuongeza mbolea asilia au ya kiwandani katika bwawa kwaajili ya kurutubisha bwawa na kuzalisha chakula asilia cha samaki ambacho nichanzo kizuri sana cha chakula kwa samaki,mfano wa chakula asilia ni kama vimajani vidogovidogo na wadudu wadogowadogo (phytoplankton na zooplankton).
4.1. MUDA AMBAO HAUHITAJIKI KUWEKA MBOLEA KATIKA BWAWA
Muda wa usiku
Wakati joto la maji ya bwawa limeshuka
Wakati wa baridi
Wakati wa mawingu pasipokuwa na mwanga wa jua
Wakati maji ya bwawa yana rangi ya kijani iliyo zidi.
Ukiweka mbolea pasipo kufuata utaratibu itapelekea kupungua kwa hewa ya oxygen ndani ya bwawa na kusababisha kufa kwa samaki, vilevile mbolea ikizidi husababisha maji kuchafuka na kuota kwa kukithiri kwa chakula cha samaki ambapo hufunika uso wa maji ya bwawa na kuzuia kuingia kwa hewa ya oxygen ndani ya bwawa la samaki.
4.2. MUDA SAHIHI WA KUWEKA MBOLEA KWEMYE BWAWA LA SAMAKI
Wakati mwanga wa jua umetoka
Wakati hakuna mawingu
Maji ya bwawa yakiwa yanajoto
Wakati maji hayana rangi ya kijani ya kutosha
4.3. KIWANGO SAHIHI CHA KUWEKA MBOLEA KATIKA BWAWA LA SAMAKI
Unaweza kutumia mbolea ya kuku,ng’ombe,farasi,nguruwe na mifungo yote au mbolea yeyote inayo tokana na wanyama au ukatumia mbolea za viwandani,ila mbolea ya kuku ni bora zaidi kuliko mbolea zote za mifugo.
Tumia kilo 2 hadi 3 za mbolea ya kuku kwa kila mita 100 za eneo la bwawa la samaki kwa kila wiki
Tumia kilo 8 hadi 10 za mbolea ya nguruwe kwa kila mita 100 za eneo la bwawa kwa kila wiki
Tumia kilo 10 hadi 15 za mbolea ya ng’ombe kwa kila mita 100 za eneo la bwawa la samaki kwa kila wiki
Au unaweza kutumia kilo 6 hadi 20 za mchanganyiko wa mbolea zote za mifugo kwa kila mita 100 za eneo la bwawa la samaki kwa kila wiki.
Tumia kilo 0.4 hadi 0.8 za mbolea ya nitrogen kwa kila mita 100 za eneo la bwawa la samaki
Tumia liko 0.1 hadi 0.2 za mbolea ya phosphorous kwa kila mita 100 za eneo la bwawa la samaki.
ONYO. Kuzidisha mbolea kwenye bwawa la samaki ni hatari sana katika maisha ya samaki ndani ya bwawa,hii ni sababu mbolea ikizidi kwenye bwawa husababisha kupungua kwa hewa ya oxygen ndani ya bwawa na husababisha kuota kwa algae nyingi ndani ya bwawa na maji kuchafuka na kusababisha samaki kufa na kutokukua vizuri kama inavyotakiwa,pia husabaisha mlipuko wa magojwa hatari kwa samaki.
4.4. JNSI YA KUWEKA MBOLEA KATKA BWAWA LA SAMAKI
Kuna njia mbalimbali za kuweka mbolea kwenye bwawa la samaki zifuatazo ni baadhi ya njia muhimu zinazotumika zaidi.
Tengeneza kiukuta kidogo kwenye kona ya bwawa la samaki kwa kutumia nguzo ndogondogo za miti,kisha weka mbolea ndani ya ukuta na kuhakikisha kuwa mbomea haipenyezi na kuingia au kusambaa ndani ya bwawa la samaki

Njia ya pili ya kuweka mbolea kwenye bwawa ,chuku gunia au mfuko wa salifeti au magunia ya kuhifadhia mahindi kisha jaza mbole ndani ya gunia baada ya kujaza funga vizuri na toboa vitundu vidogovidogo kila sehemu ya gunia kisha tumbukiza ndani ya bwawa na ulifunge na kamba ililisitembee ndani ya bwawa,
 
  

Ijumaa, 28 Desemba 2018


BWAWA LA NILON 6X6
BWAWA hili mara nyingi hutumika kama site yako ni kichanga au maji yanapotea
Uchimbaji ni laki 3 nilon ni 150000/=
Vifaranga ni 600 kambale1 @300=240000/=
Maji. Inategemea na location ya site yako
Chakula. 1samaki ale 1kg hadi kuvunwa akiwa na kg 2 ndani ya miezi 6
Chakula hicho kg 1=32000/= made in holland.
Made in Tanzania. 1kg =2000/= samaki anaweza fikia 1kg kwa miezi 6 hio ni kambale tu sato ni g250.
Homemade.  unaweza tengeneza chakula chako mwenyewe .Tunakufundisha
NB . Unashauriwa kutengeneza chakula mwenye pale tu samaki wako wakifikisha miez 3na wawe hawajadumaa. 
Mavuno
1samaki ndani ya miezi 6 ni sawa na 2 kg kama amelishwa chakula bora
Hivyo ni sawa na 1200 kg bei ya jumla ni 5000/=reja 8000/=
TUNAUZA VIFARANGA VYA SAMAKI
KAMBALE 300 tsh
SATO  350tsh
TUNAUZA CHAKULA CHA SAMAKI
TUNACHIMBA MABWAWA
TUNATOA USHAURI WA UFUGAJI SAMAKI
TUNAUZA SAMAKI NA KUNUNUA SAMAKI 
OFISI. 
BAGAMOYO. MJI MPYA
0715926398 WHATUP
0718593224 PIGA 


Tunakodisha bwawa la kufugia samaki
Kampuni ya KAMBALE AGRO BUSINESS AGENCY
  Inakodisha bwawa la 8x20M la zege
Utaweka kambale 3200
Chakula bora kutoka holland kipo kg 20 =64elf utakitumia kwa miez 3 then utashauri chakula cha bei rahisi
Maji ni DAWASCO
Bwawa liko ndani ya fensi
Ulinzi na ulishaji ni uhakika
Lipo MAPINGA -BAGAMOYO
KODI NI LAKI 1 KWA MWEZI.

MAVUNO
Utavuna tani 3 na kg 200 kwa miezi 7 mpaka 9
Kg 1 bei ya jumla ni 6000tsh
Soko ni la uhakika .
Tunauza vifaranga
Kambale 300
Sato 350
Tunachimba mabwawa
Tunashauri ufugaji samaki
0718593224
0715926398whatup(BAGAMOYO)

KAMBALE AGRO BUSINESS AGENCY
Kampuni bora ya kukuza viumbe majini iliyosajiliwa kisheria.
Makadirio ya Gharama ya kukuza kambare 1000 wawe 1kg kwa miezi sita.
A. MANUNUZI YA VIFARANGA
Kifaranga ni 300/=
                               =K1=300tsh x 1000
                               =300, 000/=
Vifaranga 1000 ni =300, 000/=
B. CHAKULA KWA MIEZI 6
Makadirio ya chini samaki 1 kwa miezi 6 anatakiwa ale kilo 1 kufikisha 1 kg ya uzito wake.
Kambale 1000  = 1000kg Chakula
Mfuko     1.         =20kg
Mfuko wa 20 kg =64000/=(made in Holland) 1kg@ 3200/=
Mfuko wa 50 kg =50000/=(made in Tanzania)1kg@2000/=
Kama kwa miezi 6 hutumia 1000kg chakula x 3200/= 3 ,200, 000/=
=3, 200, 000/=
NB :samaki anaifika 1kg  au zaidi kwa miezi 6 kama atatumia Chakula made in Holland 1kh@3200/= .
C . MATUMIZI MENGINE . 
 Maji . haitabiliki ila ni bei rahis
Mrishaji anaweza  kuwa ww,  kama umeajiri ni laki 300, 000/=kwa 6 miezi.
D. MAUZO
kg 1 ya kambale ni 6000 /=jumla na 8000 rejareja.
1000kg x 6000/= 6, 000, 000/=rejareja. 8, 000, 000/=
E. FAIDA
A+B+C+D=300, 000+3, 200, 000+300, 000=3, 800, 000
6, 000, 000-3, 800, 00= 2, 200, 000
Faida ni 2, 200, 000/=jumla . 4200000/=rejareja.
NB:samaki kufikisha 1kg kwa miezi 6 ni makadilio ya chini endapo utatumia made in Holland upo ushuhuda wa Samaki kufikisha kg 2 kwa miezi 6. 

TUNAUZA VIFARANGA VYA SAMAKI
KAMBALE 300 tsh
SATO  350tsh
TUNAUZA CHAKULA CHA SAMAKI
TUNACHIMBA MABWAWA
TUNATOA USHAURI WA UFUGAJI SAMAKI
TUNAUZA SAMAKI NA KUNUNUA SAMAKI 
OFISI. 
BAGAMOYO. MJI MPYA
0715926398 WHATUP
0718593224 PIGA